TID starts new beef with Diamond Platnumz

TID starts new beef with Diamond Platnumz

All because of a name

TID told ETV that he was the first musician to refer himself as ‘Simba’. He claims he was given the name because of his impressive performances on stage.



Kwa mfano mimi perfomance zangu wanasema ni kali, yaani za kinyama, kwahiyo mimi nilikuwa nafanya kinyama ndipo mashabiki walipo amua kunipa jina la mnyama, mpaka sasa mimi ni mnyama kutoka unyamani. Lakini sio mbaya sasa hivi nasikia kuna wengine wanajiita Simba, nimewa-inspire kuwa hivyo, kuna wengine ni wakufungwa, lakini ndio mnyama wenyewe,” said TID




share this article to: Facebook Twitter Google+ Linkedin Technorati Digg
Posted by Slaustz, Published at May 20, 2018 and have 0 comments

No comments:

Post a Comment

close